Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka hivi sasa ni mgonjwa. Anahitaji matibabu na huduma muhimu kutokana na umri wake mkubwa 
(ana miaka 55).

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bi Cheka.

Hali yake kimaisha ni mbaya, kwani anaishi katika kibanda cha udongo, yeye na wajukuu zake. Global Publishers inaendesha harambee hii ili aweze angalau kujenga kibanda cha bati na kupata matibabu.

Mchangie chochote ulichonacho, iwe 500, 1000, 5000 au zaidi kupitia namba 0654 880 707. Kitakachopatikana mtatangaziwa. Kutoa ni Moyo!

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
18 Dec 2014

Post a Comment

 
Top