Muigizaji nguli na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” leo amewatolea uvivu wale wadada amabao wana dai kuwa na wachumba wao wapo nnje ya nchi. Hivi ndivyo alivyofunguka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa wachumba zenu wanazeeka huku au kama mumepata wengine huko muwaruhusu basi waolewe na kina bwa. SHOMVI wa huku au fix zao tu hawa wadada?".
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Lulu Usitukane Wakunga, Uzazi Ungalipo!20 Jul 20160
KWAKO mtoto mzuri ndani ya Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Hujambo? Habari ya huko ulipo? W...Read more ?
- Huu ndo Mwonekano Mpyaaaa wa Snura Baada ya kujifungua.18 Feb 20150
Siku si nyingi sana mwanamama Snura wa Majanga amejifungua mtoto wake wa pili. Kume...Read more ?
- Wastara: Bond we ni Zaidi ya Maneger, My Director, My Friend, My Boy and My Lov....15 Feb 20150
Hatimaye Wastara Amwita Mr Bond Mpenzi wake hadharani , leo ni siku ya kuzaliwa kwa MR Bond na w...Read more ?
- Kajala: Paula Amekuwa Sasa Nahitaji Mdogo Wake13 Feb 20150
Na Imelda Mtema/Ijumaa Mwanadada anayeendesha maisha yake kwa kuuza sura kwenye filamu za Kibon...Read more ?
- Emmanuel Mbasha akikana kichanga cha Flora, ‘nina mtoto mmoja ana miaka 10′06 Feb 20150
Familia ya Mbasha inaendelea kutengeneza vichwa vya habari. Baada ya mchungaji maarufu nchini, Gwa...Read more ?
- VIJIMAMBO: Nikulidhishe Kwani Wewe Unanilidhisha!!!!-Lulu04 Feb 20150
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michale ‘Lulu’ amewatolea uvivu baadhi ya followe...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment