Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwanamke mmoja nchini Marekani ameuawa na mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka miwili baada ya mtoto huyo kuishika bastola iliyokuwa kwenye mkoba wake na kujifyatua risasi kwa bahati mbaya.
2456558900000578-2891673-image-a-1_1419985471752
Tukio hilo limemhusisha mwanamke mwenye miaka 29, Veronica J. Rutledge mkazi wa Blackfoot, Idaho nchini Marekani.
245645D500000578-2891673-image-a-10_1419985619565
Kwa mujibu wa polisi, mtoto huyo alikuwa amekaa kwenye toroli la super market ya Walmart na kuingiza mkono kwenye pochi ya mama yake ambapo aliishika bastola iliyolipuka. Mwanamke huyo alikuwa akifanya shopping kwenye supermarket hiyo akiwa na wanae wanne.
Tukio hilo limenaswa kwenye video za ukaguzi kwenye supermarket hiyo na baadhi ya wafanyakazi walilishuhudia. Supermarket hiyo ilifungwa baada ya tukio hilo.
Chanzo: Daily Mail

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top