Amou Haji Mzee wa zaidi ya miaka 75, Raia wa Iran, ndio Binadamu anayeshikiria rekodi ya kuwa Mwanaume mchafu zaidi duniani. Haji amekuwa na matatizo ya kisaikolojia kwa kujengewa imani tangu utotoni mwake kuwa, kitendo cha kusafisha mwili wake kitamsababishia maradhi.
Haji Hakubaliani kabisa na kunywa maji safi, na anachukia kabisa apoletewa habari za kuoga. Uchafu huu haujaishia tu kwenye usafi wa mwili wake, bali umeenda mbali zaidi kwa mzee huyu kuamua kuishi ndani ya shimo.
Chakula cha Haji ni Nyama zilizo oza lakini pia anatumia sigara zinazotengenezwa kwa vinyesi vya wanyama. Kitendo cha binadamu mchafu zaidi kuwa Mwanaume, kinafanya wanaume tuzidi kumulikwa zaidi kwenye swala la usafi wa miili yetu, mavazi na ushiriki wetu katika usafi wa mazingira.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ten Signs She'll Make a Bad Wife-Men Read This20 Apr 20150
If you’re thinking of asking your girlfriend to become your wife, deciding if you’re ready to ma...Read more ?
- I cant Help..Am in love with my Boss..and He Cant Notice it ..What Should i Do20 Mar 20150
My boss at the office is young and Handsome , he is about 29 yrs old and according to what i h...Read more ?
- Jerry Muro: Nipo Tayari kurudi ITV Hata Usiku wa Manane15 Feb 20150
Jamaa anasema alienda kusoma na alipirudi akakuta kibarua chake kimeota ngaro Ila anakiri ITV n...Read more ?
- Baada ya Kukosea Kufunga Vifungo vya Suti, Wassira Aamua Kumtafuta Sheria Ngowi ili Amtengenezee Suti zake12 Feb 20150
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); BAADA ya kuandamwa sana katika mitanda...Read more ?
- Vyoo vya Kujisaidia Ukiwa Umekaa vina Starehe Lakini vina Madhara Makubwa Kwa Binadamu23 Jan 20150
Choo cha Kukalia Nyumba nyingi mijini na ofisi mbalimbali zinazojengwa hivi sasa, huwekewa vyoo ...Read more ?
- Inasikitisha Sana: Akaa Miaka Mitatu Muhimbili Bila Matibabu Ya Aina Yoyote20 Jan 20150
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni.Alikuja Muhimbili ili...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment