March 24, 2025 06:53:07 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
4X7A9749

Desemba 12 ni siku ambayo Kenya inasherehekea  maadhimisho miaka 51, ya Sikukuu ya Jamhuri,  sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja wa Nyayo na zinagegemewa kuwa fupi tofauti na miaka mingine.

Mastaa wachache watafanya show kwenye Mashariki Festival ambayo inafanyika usiku huu Mombasa, Kenya huku Diamond Platnumz akiwa mmoja kati ya wasanii hao ambae amealikwa.
Hizi ni picha alizoweka msanii huyo akiwa tayari ndani ya Mombasa leo, msafara wa mapokezi yake ulisindikizwa na gari za Polisi.
Dai III
Dai IIIvv
Dai II
Dai IIIV
Dai

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Dec 2014

Post a Comment

 
Top