Home
»
Entertainment
» Baada ya ule mvutano wa muda mrefu ndoa ya Mama wa Kim Kardashian imefikia hapa…
Sasa imethibitika rasmi kuwa Kris Jenner na mumewe Bruce Jenner wametalikiana baada ya kukaa kwa muda mrefu wakiwa wametengana.
Jaji wa mahakama ya mjini Los Angeles alisaini nyaraka hizo lakini hakua tayari kuziweka wazi mpaka itakapofika mwezi Machi mwakani ili kutimiza masharti ya takala hiyo kisheria ambayo ni mpaka baada ya miezi sita.
Kwa masharti ya talaka hiyo iliyoonyesha kuwa Kris ataendelea kuihudumia familia yake huku wakigawana mali za benki na mali nyingine na kisheria Kris anatakiwa kumlipa mumewe dola za Kimarekani milioni 2.5 ili waweze kulingana.
Wawili hao waliachana tangu Oktoba mwaka jana baada ya kudumu kwa miaka 22 ya ndoa yao.
“Tumeishi kwa kutengana lakini kila mmoja alikua na furaha na mwenzake na pia tulikua tunaheshimiana ingawa hatukua pamoja,siku zote tutaendelea kubaki marafiki na familia yetu tutaendelea kuipa nafasi ya kwanza,”Alisema Kris.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment