Mwanasheria Mkuu aliyejiuzulu Jaji Fredrick Werema Amekata simu aliyopigiwa na Sauti ya Amerika walikuwa wanataka kujua kama kweli kweli Kajiuzulu. Walipiga simu wakamsalimia, badala ya kujibu salamu yeye kama Asante. Wakamuuliza tena, Tunasikia umejiuzulu kiti chako chako, Yeye akajibu sikua na kiti kisha akakata simu.
Kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa kusikiliza
Bonyeza Hapa Kusikiliza:
Kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa kusikiliza
Bonyeza Hapa Kusikiliza:
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment