Home
»
Entertainment
» Martin Kadinda 'Kama Wameachana Basi Wamechokana Wenyewe Mimi Sio Chanzo cha Kuachana Kwao'
'Oyooooooo...naona now tunaanza kupangiana maisha aiseee... This is my personal page i post about myself and kazi zangu za ushonaji na ubunifu.... Ukiona post about @diamondplatnumz @wemasepetu @officiallulumichael @petitman_wakuache or any other person.. Its because those are my people niko nao mara nyingi ila sio lazima to post anything about them.... So if i post am having sex... Am naked.. Am eating or anything its my page.... GET That.... back to BMW and mahusiano ya hao watu wawili sihusiki na sina taarifa about kuachana kwao... Na kama wameachana watakuwa wamechokana wenyewe.... Mimi niwe chanzo cha kuachana kwao kwakuwa nilikuwa kuwadi wa kuwakutanisha?? Kawa walivyotongozana ndo watakavyoachana.... Tatizo lenu mmekariri maisha na akili za matope kulainika kila mkimwagiwa maji..... Ukijiona ni bingwa wa matusi fungua page yako tukana...... Nasemajeeeeeeee #NdoIshakuwa na mkae mkijua FARASI UMPANDAE AKUTISHI KWA MBIO ZAKE........' Kadinda
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment