MSANII wa Filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amesema sasa hivi yuko kwenye wakati mgumu kutokana na baadhi ya marafiki na ndugu kumtenga wakimhusisha na skendo ya usagaji.
Akichonga na paparazi wetu, Vai alisema amekuwa akiumia na kukosa raha kwani kila kona anayokatiza anaitwa msagaji kutokana na kuwa na mashosti wengi wenye katabia hako, jambo linalomfanya atengwe.
“Kila ninakopita naitwa msagaji, hata baadhi ya marafiki wananikimbia baada ya wazazi wao kuwakataza kwamba wasiwe na mazoea na mimi kwa sababu ni msagaji, ukweli ninaumia sana kwani sina tabia hiyo jamani naombeni watu wanielewe,” alisema Vai.
“Kila ninakopita naitwa msagaji, hata baadhi ya marafiki wananikimbia baada ya wazazi wao kuwakataza kwamba wasiwe na mazoea na mimi kwa sababu ni msagaji, ukweli ninaumia sana kwani sina tabia hiyo jamani naombeni watu wanielewe,” alisema Vai.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mfungo Wamuepusha Amanda na Skendo...'Mwezi Huu Nguo Fupi za Kuwatega Wanaume Nimeziweka Pembeni'01 Jul 20150
Staa wa bongo movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema kuwa mfungo wa mwezi wa ramadhan...Read more ?
- Jingine Laibuka Kuhusu Rais wa FIFA..Kumbe Pia Alikuwa Anakula Demu wa Mchezaji Cristiano Ronaldo06 Jun 20150
Hali bado sio shwari kwa upande wa Rais wa FIFA, Sepp Blatter… Zimepita siku chache tu tangu atan...Read more ?
- Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu Mwigizaji Mwenzake Steven Nyerere02 May 20150
Mrekebishatabia wa Insta ameibua Mazito Kama ifuatavyoSaaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke ...Read more ?
- Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’22 Apr 20150
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movie...Read more ?
- Kipa wa Simba JR MANYIKA 'Anae Sema Naima Ananiua Kiwango Aje Acheze yeye Mimi Sio Khanisi Nina Haki ya Kuwa na Mpenzi'21 Apr 20150
BAADA ya Simba kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City katika mechi ya ligi kuu soka Tanzania bar...Read more ?
- Mume wa Mtu Apiga Picha za Utupu na Mchepuko..Picha Zasambaa Mtandaoni07 Mar 20150
KALOLI Dawa ambaye ni mume wa mtu, amedaiwa kujipiga picha za utupu akiwa na mchepuko wake uliofa...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment