March 24, 2025 08:58:51 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwigizaji wa filamu  ambae ameingia kwenye bongo fleva, Flora Mvungi ‘H.Mama’ amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi wa bongo movie hawapendani ndiomaana wanashindwa kufika mbali kisanaa.

Akinukuliwa na Gazeti moja la burudani, Flora alisema “Tukitaka kufanikiwa lazima sote letu liwe moja ili tufanye kitu kizuri,siku zote umoja ni nguvu cha msingi tukiamua kufanya kazi tusiangalie huyu bado msanii chipukizi siwezi kufanya naye kazi wote tushirikiane ili tufanye vitu bora na kupige hatua”.

Aliendelea kusema kuwa wasanii ambao tayari wamesha kuwa mastaa wakitafutwa ili afanye naye kazi lazima atataka malipo makubwa na ukiangalia bado chipukizi basi ndio mwanzo wa kakata tamaa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
22 Feb 2015

Post a Comment

 
Top