March 27, 2025 11:05:13 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Imeripotiwa kuwa mcheza mpira huo alim-propose  mchumba wake huyo mwezi wa saba na pete ya diamond yenye thamani ya Euro 500,000 licha ya kuwa wawili hao walishaoana kwa ndoa ya kimila tangu 2007 na wamekuwa pamoja kwa miaka 10 sasa.
 
Sherehe hizo zimefanyika CapiagoIntimiano, katika mji wa malavidavi Como,Italy.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
28 Nov 2014

Post a Comment

 
Top