![]() |
SCHUMACHER AKIWA NA MKEWE CORINNA, HAPA ILIKUWA NI MWAKA 2003. CHINI NI JUMBA LAO LA KIFAHARI. |
Mke wa mwendesha magari ya langalanga maarufu kama Formula 1, Michael Schumacher amekuwa akitumia dola 100,000 (zaidi ya milioni 170) kila wiki.
Corinna amekuwa akitumia fedha hizo kwa ajili ya matibabu ya mumewe.
Schumacher alipata ajali ya uanguka kwenye jiwe na kujigonga wakati akiteleza kwenye barafu.
Amekuwa mahututi kwa zaidi ya miezi sasa.
Timu ya madaktari inayomtibu imekuwa ikifanya kazi yake kwenye moja ya majumba yake ya kifahari.
Bonyeza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ujumbe wa Samatta kwa Waliotamani Genk Ingepangwa Kundi Moja na Man United28 Aug 20160
Mchana wa August 26 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA lilichezesha droo ya kupanga makund...Read more ?
- Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya26 Aug 20160
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya. Ron...Read more ?
- Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/201726 Aug 20160
Droo ya kupanga Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/2017 ratiba kamili ya hatua ya makundi ya Uefa ...Read more ?
- MICHEZO Bilionea anayetaka kuinunua Simba, ametaja kilichomsikitisha katika mkutano wa Simba01 Aug 20160
Siku moja baada ya mkutano mkuu wa Simba kufanyika na kukubali kupitisha maadhimio ya mabadilik...Read more ?
- Gonzalo asajiliwa na Juventus kwa pauni milioni 7528 Jul 20160
Klabu ya Juventus wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Argentina, Gonzalo Higuain kutoka klabu...Read more ?
- Hongera Yanga kwa mlipofika, tujipange upya28 Jul 20160
Ni muda mrefu soka la Tanzania kwenye ngazi za vilabu limeonekana kuzorota kufuatia vilabu vyake k...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment