Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga amesema mwanaume aliyezaa naye (jina ni siri yake) anampenda sana na mwanamke asiyejipenda amshobokee aone kitakachompata.
 
Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga.

Akipiga stori na Ijumaa Lungi amesema anajua kuwa wapo wanawake ambao wakiamua kutembea na waume za watu hawashindwi lakini akasema, kwa bwana wake aliyezaa naye akigundua kuna anayemnyemelea, atakufa naye.

“Nawataha-dharisha tu wasije kuthubutu kutoka na mwanaume ambaye ananipa jeuri hapa mjini kwani nitawafanyia kitu mbaya. Wanaonijua wananielewa na wanaujua moto wangu ninapoingiliwa kwenye anga zangu,” alisema Lungi.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
28 Nov 2014

Post a Comment

 
Top