Home
»
Entertainment
» WAMETUMIA HIZI DAKIKA 2 KUTUONJESHA MOVIE MPYA YA FAST & FURIOUS 7ITAKAVYOKUWA.
Kama mfululizo wa movie za Fast & Furious uko kwenye kumbukumbu zako basi baada ya kuitazama na hii unaweza kukufanya ukatamani kama ungekua na uwezo wa kuisogeza April 2015 iwe kesho.
Ni moja kati ya zile movie za dunia ambazo watu huwa wanaweka akili nyingi na kuwekeza pakubwa ili kumfurahisha mtazamaji… taarifa ikufikie kwamba movie mpya ya Fast & Furious 7 itaachiwa rasmi April 10 2015 huku ndani yake akionekana pia marehemu Paul Walker ambae alifariki kwa ajali ya gari November 30 2013.
Kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza Hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment