Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo.

Jaja akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.

Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.



 Edward Manyama akimtoka beki wa JKT Ruvu, Madenge Ramadhani.

 Kipa wa JKT Ruvu, Jackson Chove akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.

Mohamed Faki akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima.


Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Kelvin Yondani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Bonyeza Hapa like page yetu tukufikie  kwa haraka zaidi

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
05 Oct 2014

Post a Comment

 
Top