
Mlipuko
Mlipuko huo ulilikumba gari lao ambalo lilikuwa likipiga doria katika eneo ambalo bomba la gesi linapitia katika mfereji.
Kumekuwa na mashambulizi ya mara kwa mara dhidi ya jeshi la Misri pamoja na miundo msingi katika eneo la Sinai tangu rais Abdel fatah al Sisi achukue uongozi wa taifa hilo mwaka 2013.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment