Taarifa kutoka Thailand zinasema upasuaji huo ni wa awamu ya pili kufanyiwa, baada ya kutoridhiwa na matokeo ya upasuaji wa awali.
Waziri wa afya Boonruang Triruangworawat amesema jitihada zilizofanywa kuokoa maisha ya msichana huyo hazikusaidia.
Daktari aliyekuwa akimfanyia upasuaji huo aliyefahamika kwa jina la Dk. Sompob Sansiri anashikiliwa na polisi, huku serikali ikitangaza kuifungia kliniki alipokuwa akifanyia upasuaji kwa siku 60 kwa ajili ya kupisha uchunguzi.
Inasemekana kuwa unafuu wa huduma hiyo unapelekea watu wengi kutoka nchi za Ulaya kukimbilia Thailand licha ya kuripotiwa kutokea vifo vingi vya wateja wake.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment