April 8, 2025 10:07:41 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Malaysia imeanza awamu nyingine ya kuisaka ndege yake iliyopotea MH-370 kusini mwa bahari ya Hindi ikiwa ni takribani miezi saba tangu kutoweka kwa ndege hiyo. Meli iliyofungwa vifaa maalumu vinavyotumia teknolojia ya Sonar.
MH-370
Hata hivyo meli hiyo ikiwa na vifaa hivyo imewasili katika eneo la pembezoni kabisa mwa Bahari ya Hindi kilomita 18,000 magharibi mwa Australia,
Utafutaji wa ndege hiyoilisitishwa kwa muda kwa kipindi cha miezi minne ili kutoa nafasi uchunguzi zaidi wa ramani kuhusiana na kupotea kwa ndege hiyo.
Ndege hiyo ilipotea mwezi march mwaka huu wakati iliporuka kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 Oct 2014

Post a Comment

 
Top