Malaysia imeanza awamu nyingine ya kuisaka ndege yake iliyopotea MH-370 kusini mwa bahari ya Hindi ikiwa ni takribani miezi saba tangu kutoweka kwa ndege hiyo. Meli iliyofungwa vifaa maalumu vinavyotumia teknolojia ya Sonar.
MH-370
Hata hivyo meli hiyo ikiwa na vifaa hivyo imewasili katika eneo la pembezoni kabisa mwa Bahari ya Hindi kilomita 18,000 magharibi mwa Australia,
Utafutaji wa ndege hiyoilisitishwa kwa muda kwa kipindi cha miezi minne ili kutoa nafasi uchunguzi zaidi wa ramani kuhusiana na kupotea kwa ndege hiyo.
Ndege hiyo ilipotea mwezi march mwaka huu wakati iliporuka kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Kijana Mwingine Mweusi Auawa Nchini Marekani24 Dec 20140
Eneo la tukio maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis yaliyosababis...Read more ?
- Wanajeshi 54 wa Nigeria Wahukumiwa Kifo kwa Kushindwa kupambana na Boko Haram.18 Dec 20140
Mahakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi...Read more ?
- Watu 3 wauawa katika vita nchini Somalia13 Dec 20140
Mwanajeshi wa serikali ya Somali .Vita vimezuka katika ya wanajeshi wa somali na wanamgambo wa Alh...Read more ?
- Milipuko Wiliwi Yaua Watu 30 Nchini Nigeria12 Dec 20140
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Waokoaji na wakazi wakikutana katika e...Read more ?
- Al Jazeera yaihusisha Kenya na mauaji ya Viongozi wa Kiislamu09 Dec 20140
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Abubakar Shariff Makaburi ni mmoja wa vio...Read more ?
- Mtoto wa Malkia wa Uingereza kwa mara ya kwanza ndani ya ‘White House’ ya Marekani09 Dec 20140
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Familia ya Kifalme ya Prince Willium na...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment