Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kocha wa timu ya taifa ya Nigeria, Stephen Keshi amefukuzwa kazi na shirikisho la soka nchini humo, NFF mapema Alhamis hii licha ya timu yake kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Sudan jana.


412864_heroa

Keshi ametimuliwa pamoja na makocha wake wasaidizi Daniel Amokachi na Ike Shorunmu. NFF imemshukuru Keshi na wasaidizi wake kwa kazi waliyoifanya na imeahidi kuwalipa mafao yao ndani ya wiki mbili zijazo.



NFF, imedai kuwa Keshi, Amokachi na Shorounmu wanaweza kuendelea kusoma course yoyote ya ukocha katika nchi wanayotaka ili kuboresha uwezo wao.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top