MWANAFUNZI
wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ugalla, Wilaya ya Mlele Mkoa
wa Katavi, Yohana Ramadhani (14), ameliwa na Mamba wakati akioga na
wenzake katika mto Ugalla.
Kwa
mujibu wa Diwani wa Kata ya Ugalla, Mohamed Asenga, tukio hilo
lilitokea Oktoba 18 mwaka huu, saa 11:00 jioni katika mto huo.
Alisema siku hiyo, marehemu akiwa na watoto wenzake kamailivyo kawaida yake, alikwenda kwenye mto huu kwa lengo la kuogelea.
Asenga
alisema kuwa, wakati watoto hao wakiendelea kuogelea, alitokea mama
mmoja aliyefika mtoni hapo kwa ajili ya kuteka maji, ambapo akiwa
anaendelea, alimwona mamba kando ya mto akiwavizia watoto hao pasipo wao
kujua.
Kwamba, mama yule aliwaambia waache kuogelea na watoke haraka ndani ya mto kwani amemwona mamba akiwa pembeni akiwavizia.
“Watoto
hao walitoka ndani ya mto lakini wakati wakiondoka mamba huyo
aliyekuwa pembezoni mwa mto, alimkamata Yohane na kuingia naye mtoni
tena,” alisema na kuongeza kwamba zilipiga yowe kuomba msaada ambapo
wananchi walijitokeza japo hawakufanikiwa kumuokoa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Tetemeko Lililotokea Jana Katika Mikoa Ya Kanda ya Ziwa Limeua Zaidi ya Watu 10 na Kujeruhi Wengine 12011 Sep 20160
Tetemeko la ukubwa wa mtikisiko wa kipimo cha Ritcher 5.7 limetokea katika mikoa mitatu nc...Read more ?
- Msafara wa Makamu wa Rais, Samia Suluhu wapata ajali Mtwara.09 Sep 20160
Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama Samia Suluhu Hassan ambao uliku...Read more ?
- Polisi Washuhudia Majambazi Yakitwangana Risasi.......Zakamatwa Shehena za Silaha na Vifaa vya Uhalifu06 Sep 20160
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wa kutumia silaha, ambao wamehusika kufanya matukio ...Read more ?
- Askari Magereza Atiwa Mbaroni Kwa Kuingia Wodini Akiwa Amelewa na Kisha Kuanza Kufyatua Risasi28 Aug 20160
POLISI mkoani Rukwa inamshikilia askari Magereza, Cleophas Chapaulinge kwa kosa la kulewa na k...Read more ?
- Polisi Mwingine Auawa Kwenye Mapambano Makali na Majambazi Huko Mkuranga27 Aug 20160
Ilikuwa ni kama filamu ya askari na maadui wakati askari wa Jeshi la Polisi walipopambana na wat...Read more ?
- RC Makonda: Polisi Mkikuta Mtu Yeyote Msituni Pigeni bila Huruma.......Haki za binadamu Wakiwauliza Waambieni waje Kwangu26 Aug 20160
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameliagiza Jeshi la Polisi kuwagonga na kuwapiga wah...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment