Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa ligi kuu soka nchini uingereza leo hii imelejea na mchezo ulofanyika mapema leo ulikuwa ni kati ya man city vs tottenham.
Mshambuliaji raia wa Algetina aguero ameifungia magoli yote maanne timu yake pale ilipoitandika Tottenham kwa goli nne kwa 1 na kuwa main off the mechi. kwenye mchezo huo  kiungo frank Lampand alitolewa nje baada ya kuumia huku beki wa tottenham Federico Fazio akitolewa nje kwa kadi nyekundi kwa kumchezea vibaya Aguero.
Aguro alianza kuiandikia timu yake goli la kwanza katika dakika 13 dakika mbili baadae Erikson aliisawazishia tottenham goli. Aguero tena hakukata tamaa mnamo dakika ya 20 akaipatia goli la pili na kwenda mapumziko huku wakiwa wanaongonza mbili kwa moja. kipindi cha pili Aguero aliifungia tena magoli mawili katika dakika 68 ,78 na kufanya hadi mchezo unaisha Man city 4 -Tottenham 1.


  • Timu zilipangwa kama ifuatavyo 
  • Man City XI: Hart, Clichy, Demichelis, Kompany (c), Sagna, Milner, Lampard, Fernando, Navas, Silva, Aguero





  • Tottenham XI: Lloris, Dier, Fazio, Kaboul (c), Rose; Capoue, Mason; Chadli, Eriksen, Lamela; Soldado 

  • Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

    Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

    Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
    http://www.facebook.com/kibonajoro

    Post a Comment

     
    Top