Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
13
14
15
Tunajua rapper T.I kutoka Marekani ni mmoja wa wakali ambao wamepewa hati miliki ya stage ya tamasha la Fiesta linalofanyika leo viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es salaam likiwa na wakali wengine kama Diamond, Ommy Dimpoz, Nay wa Mitego, Waje, Stamina, Mwana FA, Victoria Kimani, Linah naVanessa Mdee.

16
1
2
4
3

5
6
11
10
8
7
12
20

        Gari lililombeba T.I kutokea Airport
Utakuwepo leo Fiesta mtu wangu? nitajie nyimbo mbili maarufu za T.I sababu kuna zawadi zitatolewa kwa wachache wataowahi kucomment.
Picha na Millardayo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top