Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA limeanza kuifanyia uchunguzi skendo inayomkabili Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuhusiana na kudanganya umri wake. Baraza hilo lina siku saba tu kukamilisha kazi hiyo.
“Tayari tumeshalikabidhi kwa Basata na tumewapa muda wa wiki moja kisha watatupa majibu na ushauri juu ya walichokigundua , baada ya hapo sisi tutajua nini kifanyike na kutoa tamko rasmi,” alisema Mkamia.
Baadhi ya nyaraka hizo ni paspoti inayodaiwa ni ya Sitti iliyolewa Frebuari 15 ,2007 ikionyesha amezaliwa 1989, Pia leseni ya udereva aliyoipata huku Texas, Marekani inaonyesha mrembo huyo amezaliwa Mei 1989.
Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za ndani na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment