Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wiki hii Akon amejikuta akishutumiwa vikali na mashabiki wa muziki barani Afrika kwa kuamua kutumbuiza akiwa ndani ya puto huko Goma nchini DRC kwa kile kilichotafsiriwa na wengi kuwa alikuwa akijikinga na Ebola.
par7983044
Hata hivyo Akon amekanusha madai hayo kwakuwa miaka minne iliyopita alitumbuiza kwa mtindo huo huko Australia na Dubai.
par7983054

Kupitia Twitter, Akon ameandika:

“This bubble has been apart of my show for years. Way before Ebola existed. Let’s try n stop Ebola before it spreads. It’s sad how the media spin everything so negatively. I would never intentionally isolate myself from my African people.”
par7983056Bonyeza Hapa like ukurasa wetu wa facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 Oct 2014

Post a Comment

 
Top