Stori: Hamida Hassan
Tofauti na mastaa wengine ambao huandika majina ya wapenzi wao kwenye miili yao kuonesha jinsi wanalivyo na mapenzi nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Wema Sepetu wamekuwa tofauti, Ijumaa limegundua.
Tattoo ya Diamond Platinum ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.
Mastaa hawa wameonyesha kuwa na mapenzi na wazazi wao ambapo mwandishi wetu amebaini Diamond ameandika jina la mama yake mkononi huku Wema akiandika jina la baba yake mkononi pia.
Wote wamefanya hivyo kwenye mikono yao ya kushoto sambamba na uwepo wa tatoo nyingine ambapo Wema ameandika ‘Daddy Sepetu’ na Diamond akaandika Sandra…’
Tattoo ya Wema Sepetu ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.
Hata hivyo, baadhi ya mashabiki wao wamedai huenda penzi la mastaa hao si la kudumu ndiyo maana wamekwepa kuandikana ili isije ikawa shida pale watakapomwagana.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Bodi ya Mikopo yatangaza majina 1,091 ya wadaiwa Ambao Hawataki Kulipa (Awamu ya kwanza).....Bonyeza Hapa Ujitazame Kama na Wewe Jina Lako Lipo28 Jul 20160
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB), inawaarifu wadaiwa wote ambao mpaka hivi sa...Read more ?
- Picha:Uzinduzi Wa Kitabu Cha Kanumba Hapo Jana12 Jan 20150
NAIBU Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Makongoro Mahanga, jana amezindua rasmi kitab...Read more ?
- Odama: Ndoa Haitanifanya Niache Filamu08 Jan 20150
Na Laurent Samatta MCHEZA filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume a...Read more ?
- Baby Madaha: Nikifa Nisizikwa Katika Makaburi ya Kinondoni06 Jan 20150
WAKATI baadhi ya wasanii wa hapa jijini, Dar wakifa huzikwa hapahapa, jambo hilo limekuwa ni ...Read more ?
- MCHUMBA: MASOGANGE KANISALITI22 Nov 20140
STORI: Musa MatejaMCHUMBA wa Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ aitwaye Evance K...Read more ?
- KAJALA MASANJA ATAMANI KUPATA MTOTO WA PILI22 Nov 20140
MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye am...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment