Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Stori: Hamida Hassan
Tofauti na mastaa wengine ambao huandika majina ya wapenzi wao kwenye miili yao kuonesha jinsi wanalivyo na mapenzi nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Wema Sepetu wamekuwa tofauti, Ijumaa limegundua.

Tattoo ya Diamond Platinum ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.

Mastaa hawa wameonyesha kuwa na mapenzi na wazazi wao ambapo mwandishi wetu amebaini Diamond ameandika jina la mama yake mkononi huku Wema akiandika jina la baba yake mkononi pia.
Wote wamefanya hivyo kwenye mikono yao ya kushoto sambamba na uwepo wa tatoo nyingine ambapo Wema ameandika ‘Daddy Sepetu’ na Diamond akaandika Sandra…’
Tattoo ya Wema Sepetu ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.

Hata hivyo, baadhi ya mashabiki wao wamedai huenda penzi la mastaa hao si la kudumu ndiyo maana wamekwepa kuandikana ili isije ikawa shida pale watakapomwagana.

Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za kitaifa/kimataifa, burudani, michezo, udaku na siasa, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
10 Oct 2014

Post a Comment

 
Top