Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya makamuzi ya nguvu usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma kwenye Usiku wa Diamond Platnumz.


Diamond akiwadatisha mashabiki wake waliofurika kwa ajili ya Usiku wa Diamond Platnumz.


Mashabiki wakiwa wamepagawa na burudani kutoka kwa Diamond.

...Diamond akisema na mashabiki wake ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma usiku wa kuamkia leo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top