Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
bongoclan tanzania
Wolper katika pozi.wolper1 bongoclan.co.tz
Kwa wale wenzangu na mimi ambao mpo Instagram mtakubaliana na mimi kua Jackline Wolper ni mmoja kati ya wasanii wachache wa kike wanaoongoza kwa kupiga pamba. Baada ya watu kumzoea akiwa na nywele ndefu jana Wolper ametupia picha za mwonekano wake mpya akiwa kanyoa nywele zake na kubakiza zikiwa fupi.
Wengi wa waliotoa maoni kuhusu mwonekano wake huo mpya walimpongeza kua kapendeza je wewe ukiwa kama msomaji wa website yetu una maoni gani???? Tazama picha hizi hapa chini…
 Credit:Bongoclantz

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Oct 2014

Post a Comment

 
Top