Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutumia madawa ya kulevya ‘ unga ’ kisha kunusuriwa, super lady kwenye Bongo Fleva , Rehema Chalamila ‘ Ray C ’ , hatimaye mambo yameanza kumnyookea baada ya kulamba shavu tenda nono ya kulisha Hospitali ya Mwananyamala , Dar .

 MTOTO APIGWA KIKATILI NA BABA'AKE..AFANYIWA UPASUAJI WA KICHWA!

Super lady kwenye Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C ’

 Ray C almaarufu Kiuno Bila Mfupa amefungua bonge la ‘ restauranti’ maeneo ya Mwananyamala Hospital, ambapo amepata tenda ya kuwahudumia chakula wafanyakazi wa hospitali hiyo na Idara ya Maji ( Dawasa ) ambapo anafanya kazi hiyo kwa saa ishirini na nne na muda mwingi anakuwepo yeye mwenyewe.


“Bidada sasa hivi yupo njema sana. Kalamba shavu la kulisha Hospitali ya Mwananyamala na Dawasa na hapo ni mchana na usiku so yupo bize kinoma.

 DIAMOND ATWAA TUZO YA COLLABO BORA YA MWAKA AUSTRALIA

Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, wanahabari wetu waliusaka mgahawa huo na kufanikiwa kuupata ambapo walimkuta Ray C akiwa bize kuhudumia wateja ambapo alisema:

“Namshukuru Mungu kwani nimepata tenda ya kuwapikia chakula wafanyakazi wa Mwananyamala na wale wagonjwa ambao ni waathirika wa madawa ya kulevya. ”

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top