Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
BREAKING NEWS.! MOTO WATEKETEZA BWENI SHULE YA AFRICAN MUSLIM MJINI MOSHI

Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.
BREAKING NEWS.! MOTO WATEKETEZA BWENI SHULE YA AFRICAN MUSLIM MJINI MOSHI
Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Diamond aliyeko nchini Nairobi amewajulisha mashabiki wake kuhusu tuzo hiyo kwa kuandika hivi:
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment