Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
BREAKING NEWS.! MOTO WATEKETEZA BWENI SHULE YA AFRICAN MUSLIM MJINI MOSHI

Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.
 STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Diamond aliyeko nchini Nairobi amewajulisha mashabiki wake kuhusu tuzo hiyo kwa kuandika hivi: 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top