Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana.
Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo.

Mayweather akiwasili katika Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas kwa pambano hilo.
Bondia Floyd Mayweather amemchapa tena mpinzani wake Marcos Maidana katika mpambano wao uliopigwa kwenye Ukumbi wa MGM Grand Garden jijini Las Vegas, Marekani na kumalizika hivi punde.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top