
Tmz wameripoti kuwa model Amber Rose ameomba talaka kutoka kwa mume wake ambaye wameishi pamoja kwa muda wa mwaka moja. Amber anasema yeye na mumewe wametengana kuanzia Jumatatu na anataka haki zote za malezi za mtoto wao Sebastian mwenye umri wa mwaka mmoja.

Tofauti na ndoa za wasanii wengine zikivunjika hugawana pesa na mali, Amber alisainishwa makubaliano ya kutochukua mgao wa pesa au mali kutoka kwa mumewake endapo watatengana. Soma Zaidi hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment