Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Baada ya kuharibika kwa mimba ya kwanza ya mchumba Nay Wa Mitego, Siwema, hatimaye mwanadada huyo anatatarajia kuwa mama tena na anatarajia kujifungua hivi karibuni.


Nay wa Mitego akiwa na mpenzi wake Siwema

“Umemuona mama kijacho,” Nay aliiambia  Bongo5 baada ya kutembelewa na mpenzi wake katika uwanja ndege wa Mwanza akijiandaa kuekelea Dar es salam, huku akicheka na kuendelea kumpiga mabusu mpenzi wake huyo anayeishi jijini humo.


Gari ambalo amekujanalo mpenzi wa Nay


Nay akimuaga mpenzi wake


Nay akizungumza na mpenzi wake.
BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top