Takribani watu zaidi ya 45 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo


Habari kamili tutakuletea hivi punde,endelea kutembelea hapa

Bonyeza Hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment