Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 Askari kanzu waliofika eneo la makaburi ambapo bint 
huyo aliuwa kinyama na watu wasifahamika Kumradhi kwa picha hizi


 Askari akiangalia kwa makini mwili wa dada huyu ambaye ameuwa kikatili na watu wasiofahamika 


 hee mwenyezi mungu  ilaze roho ya huyu dada peponi

Bint moja kakutwa kauwawa  maeneo ya mkaburi ya kata ya nyatukala  na maiti yake kuwachwa pembezoni mwa kaburi.

Akitoa tarifa mtendaji wa kata nyatukala.ambaye pia ni Diwani mh Adamu akisimulia mkasa huo hali halisi juu ya mkasa huu.

Akifafanua zaidi mh adamu alisema kuwa baada ya kuona hali hiyo walibidi wafanya masiliano na jeshi la polisi ili wawenze kuja eneo hilo la tukio.
Aidha baada ya kufika Askari hao eneo la tukio hilo na kuona mwili huo waligundua katika mwili wake marehemu alipingwa na kitu kizito nyuma ya kisongo chake kichwani na maeneo ya mabenga yake .

Mh Adamu alizidi kusema kuwa kutokana na hali hiyo ya kuvuja damu nyingi ndiko kumesababishwa Bint huyo kukutwa na mauti hayo .
Aidha Mtendaji huyo amesema kuwa chanzo cha mauaji hayo ni bado ni kitendawili katika kata hii na kusema kuwa chazo cha tukio hili halisi ni bado na jeshi la polisi enaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.
Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
05 Sep 2014

Post a Comment

 
Top