Hiki
ni kisa kilichotokea nchini Kenya na kuripotiwa na NTV, ambapo mwanamke
mmoja ambaye ni mama ameamua kumfunga mwanaye kama mzigo na kumtuma kwa
baba yake kwa njia ya kifurushi. Mtoto huyo wa kiume ana umri wa wiki
tatu.Wafanyakazi wa
kampuni ya G4S ambapo anayedaiwa kuwa baba wa mtoto huyo nafanya kazi,
wamesema walikuta kifurushi ambacho hawajawahi kupokea kimetelekezwa nje
ya ofisi zao na walipofungua kibox wakakuta ni mtoto amefungwa kama
mzigo. kuitizama youtube bonyeza Hapa
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment