Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

dff
Chris Brown alihusishwa na habari ya kuachwa na girlfriend wake Karrueche kutokana sababu za Chris kuwa busy na party sana zaidi ya kutumia muda wake kuimarisha mapenzi na kazi za muziki.


Taarifa za mwanzo zili ripotiwa kwamba Karrueche ndiye amemuacha Chris Brown na kubadilisha namba ya simu ili Breezy asimpate. Hivi sasa story za ndani kutoka kwa watu wa karibu wa Chris Brown zimekanusha kuhusu Karrueche kumtosha Chris Brown.

Watu hao wanasema kwamba Chris ndiye aliyemuacha Karrueche kutokana na mambo mawili. Kitu cha kwanza ni kutokana na kuwa na mawasiliano na mwanaume mwingine ambaye Karrueche alikuwa ana mtumia hadi picha.
Sababu nyingine ni kwamba Chris Brown hakupenda Karrueche alivyofanya interview kuhusu clothing line yake ambapo aliacha kuzungumzia hizo nguo na kuzungumza sana kuhusu matatizo ya uhusiano wao.
Chris aliona Karrueche anatumia advantage ya uhusiano wao kwa kuzipa kick biashara binafsi.
 UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top