
NYOTA wa
nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando amesema anatamani sana kuhamia
kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima
kutokana na mahubiri yake mazuri.
alisema Rose.
Katika
siku ambayo kulikuwa na sala ya shukurani kanisani kwa Gwajima Jumapili
iliyopita Kawe jijini Dar es Salaam, mchungaji huyo alimwambia Rose
aliyealikwa kuimba, kwamba yupo tayari kumjengea kanisa Dodoma anakoishi
na yeye mwenyewe alisimamie.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment