Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Nisha Msanii wa Bongo Movies Amehabarisha na Kusema Bado Hajaona Mwanaume Ambae Atakuwa Baba wa Watoto Wake Kwani kila Mwanaume Anayemtongoza na kumtaka Kimapenzi Haoni Kama anaweza kuwa Baba Mzuri wa familia na Kulea Watoto Ipasavyo

"Nahitaji Kutuliza Akili na Kufikiria hili Swala kwa Makini Kwani Ishu ya Kuzaa na Kulea Mtoto ni nyeti sana Nisije Nikakurupuka nikaambulia Garasha na Kuambulia Kulia" Nisha.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top