Ndege ya kampuni ya Taban Air imeripotiwa kuanguka katika makazi ya
watu baada kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Mehrabad Magharibi mwa mji wa
Tehran nchini Iran.
Ndege hiyo inayojulikana kama Iran 141 ilitengezwa nchini Iran kwa
teknologia ya Ukraine imepata ajari na kuua watu wote waliokuwepo kwenye
hiyo ndege.
Kituo cha
television
cha taifa kimetangaza kuwa ndege hiyo ilikuwa na abiria 40 na uchunguzi wa ajali hiyo unaendelea.
Iran imekabiliwa na ajali kama hizo katika siku za hivi karibuni
kutokana na ndege zake zilizozeeka mbali na marekebisho mabaya
inazozifanyia.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:-
0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment