Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

ARSENAL imebeba Ngao ya Jamii baada ya kuwafumua mabingwa wa Ligi Kuu ya England, Manchester City mabao 3-0 jioni hii Uwanja wa Wembley, London.
Katika mchezo huo wa kuashiria ufunguzi wa pazia la Ligi Kuu ya England, mabao ya The Gunners yamefungwa na Santi Cazorla dakika ya 21, Aaron Ramsey dakika ya 42 na Olivier Giroud dakika ya 60.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Debuchy, Chambers, Koscielny/Monreal dk46, Gibbs, Arteta, Sanchez/Oxlade-Chamberlain dk46, Ramsey/Campbell dk86, Wilshere/Flamini dk68, Cazorla/Rosicky dk70 na Sanogo/Giroud dk46.
Man City: Caballero, Clichy, Boyata, Nastasic, Kolarov/Richards dk76, Navas/Sinclair dk85, Toure/Milner dk60, Fernando, Nasri/Silva dk46, Dzeko/Zuculini dk60 na Jovetic.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa   

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top