Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Mbunge wa Bunge Maalum la Chiku Abwao akizungumza na waandishi wa habari kukanusha habari za kujisajili katika orodha ya wajumbe wanaoshiriki vikao vya kujadili rasimu ya Katiba mjini Dodoma katika bunge maalumlinaloendelea hivi sasa na viako vyake na kudai taarifa hizo si za kweli leo katika ukumbi wa habari za bunge mjini dodoma 


Mbunge wa jimbo la  Mpanda Kati (Chadema) Said Arfi akijisajilli katika orodha ya wajumbe wanaoshiriki  Bunge la Rasimu ya Katiba mpya mjini Dodoma wakati hivi sasa bunge hilo linaendelea na vikao . Kulia ni Mfanyakazi wa Bunge Jamhuri ya Muungano,Lweli Lupondo.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331 
  kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
  UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331 
  kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top