March 30, 2025 07:29:38 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Loic Remy
Chelsea wamemsajili straika wa Queens Park Rangers kwa dau la paundi milioni 10 na kupewa mkataba utakaomuweka chelsea kwa miaka 4.
Remy kabla ya kutua chelsea alikuwa anatakiwa pia na Arsenal baada Oliver giroud kuumia.
'Nina furaha na ninajivunia' alisema Remy ,27 kusajiliwa na chelsea .

  • Bonyeza Hapa



Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
31 Aug 2014

Post a Comment

 
Top