Lady
Jay Dee ambaye ameshinda tuzo ya AFRIMMA kama mwimbaji bora wa kike
Afrika Mashariki atatua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius
Nyerere, Dar es Salaam, August 3 mwaka huu akitokea Marekani.Akiongea
na tovuti ya Times Fm, meneja wa Lady Jay Dee, Captain Gardener G.
Habash amesema kuwa mwimbaji huyo anatarajia kuondoka Houston, Marekani
August 1 na kuingia Dar es Salaam August 3.
Amesema Lady Jay Dee yuko Marekani alikuwa ameenda kwa ajili ya likizo au mapumziko.
Tuzo hiyo
ya AFRIMMA imekuwa tuzo ya 30 kwa muimbaji huyo, idadi hiyo ilifahamika
rasmi baada ya kuandika ujumbe wa shukurani kwa mashabiki wake.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment