Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Brazil imemtangaza mchezaji wa zamani Dunga kuwa kocha wa timu ya taifa, kwa mara ya pili. Dunga alikuwa nahodha wa Brazil mwaka 1994 waliposhinda Kombe la Dunia, na alikuwa kocha kuanzia mwaka 2006 hadi 2011.

"Nimefurahi sana kurudi," amesema Dunga, 50, ambaye alikuwa akitajwa sana kuchukua nafasi hiyo. Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari,
aliyejiuzulu baada ya Brazil kufika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, lakini alipata kipigo kizito katika historia ya taifa hilo kwa kufungwa 7-1 na Ujerumani. Dunga aliifikisha Brazil katika robo fainali Afrika Kusini mwaka 2010.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top