Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

MAMIA WAMZIKA HALIDA, NI YULE ALIYEFARIKI KATIKA SWALA YA IDD

waombelezaji_cb4bd.jpg
Wakazi wa mjini Iringa leo wajitokeza kwa wingi kumzika Halida Ng'anguli katika makaburi ya Makanyagio, ni yule aliyefariki siku ya Iddi el fitri baada ya kuanguka chooni katika uwanja wa samora jana.Waislamu nchini jana wameungana na waislamu wenzao duniani kuswali sala ya Iddi mkoani Iringa lakini kwa bahati mbaya muumini mwenzao Halida Ng'anguli mkazi wa Mwangata C ambaye ni shangazi wa manahabari wa gazeti la majira Iringa Zuhura zuhkeri kufariki dunia baada ya masaa machache toka aanguke chooni uwanja wa Samora.
jeneza_a7075.jpg

kaburi_48751.jpg
waombelezaji_3_b2313.jpg
Wakazi wa mjini Iringa leo wakiwa nyumbani kwa marehemu Halida Ng'anguli Mwangata C. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top