Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Juliana-Kanyomozi2-post
Mwanamuziki maarufu wa nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, leo asubuhi amempoteza mtoto wake mdogo wa kiume Keron baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Pumu. Kwa mujibu wa gazeti na New Vision Keron amefariki katika hospitali ya Aghakhan.

Kanyomozi
Ni wakati mgumu kwa mwanamuziki huyo mrembo kwakuwa amekuwa akimpenda sana mtoto wake wakati akithibitisha taarifa hizo.
New Vision imemnukuu Juliana akisema kuwa” Malaika wangu ametangulia kwa Mungu, kilichosambazwa awali ni uzushi. Amefariki leo saa 10:25 asubuhi hii, amekuwa mpambanaji mkubwa wa afya yake nawashukuru wote kwa maombi yenu nitajitahidi kujikaza, Mungu amlaze mahali pema Keron lala salama mwanangu hadi tutakapokutana tena.”
Juliana amewaomba mashabiki wake kumuombea mtoto wake huyo haswa katika kipindi hiki kigumu kwake.
Juliana amesema mtoto wake hakuwa katika hali nzuri baada ya kushambuliwa na ugonjwa wa Pumu uliomsababishia kupoteza maisha.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top