MSHAMBULIAJI
MPYA WA BARCELONA, LUIS SUAREZ AMEJIKUTA KATIKA WAKATI MGUMU BAADA YA
MASHABIKI WA BARCELONA KUMVAMIA AKIWA MTAANI NA MKEWE WAKITAKA KUPIGA
NAYE PICHA, ASAINI KWENYE KARATASI NA JEZI ZAO. HALI ILIKUWA NGUMU ZAIDI
BAADA YA DADA MMOJA KUMZUIA KABISA SUAREZ AMBAYE BAADAYE ALISAINI
KWENYE JEZI YA LIONEL MESSI ALIYOKUWA AMEVAA MMOJA WA MASHABIKI HAO.
FIFA IMEZUIA BARCELONA KUMTANGAZA SUAREZ KUTOKANA NA ADHABU
ANAYOITUMIKIA YA KUMUUMA GIORGIO CHIELLINI WAKATI WA MICHUANO YA KOMBE
LA DUNIA.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment