Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

MSHAMBULIAJI MPYA WA BARCELONA, LUIS SUAREZ AMEJIKUTA KATIKA WAKATI MGUMU BAADA YA MASHABIKI WA BARCELONA KUMVAMIA AKIWA MTAANI NA MKEWE WAKITAKA KUPIGA NAYE PICHA, ASAINI KWENYE KARATASI NA JEZI ZAO. HALI ILIKUWA NGUMU ZAIDI BAADA YA DADA MMOJA KUMZUIA KABISA SUAREZ AMBAYE BAADAYE ALISAINI KWENYE JEZI YA LIONEL MESSI ALIYOKUWA AMEVAA MMOJA WA MASHABIKI HAO. FIFA IMEZUIA BARCELONA KUMTANGAZA SUAREZ KUTOKANA NA ADHABU ANAYOITUMIKIA YA KUMUUMA GIORGIO CHIELLINI WAKATI WA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA.

UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top