MWANAMKE
mbalimbali ya Tanzania, likiwemo Jiji Kuu la kibiashara la Dar es Salaam
na mingine ya Namibia, ameibuka na kueleza jinsi alivyotenda dhambi ya
kusambaza Ukimwi kwa wanaume wakware.
ya kukiri kufanya hivyo, akisema kwa siku alipanga hadi wanaume
watano,tena bila ya kutumia kinga akisema alidhamiria kuusambaza ugonjwa
huo hatari alioambukizwa akiwa katika shughuli za ukahaba.
Alijigundua
ameathirika mwaka 2006. Hata hivyo, katika maelezo yake ameelezea
kuijutia dhamira yake hiyo, akisema alisambaza kutokana na hasira
aliyokuwa nayo dhidi ya mwanamume aliyemwambukiza.
“Nilimchukia
sana kila mwanamume, yeyote aliyejiita mwanamume…nilishindwa tu
kuwawinda na kuwaua, lakini dhamira yangu ilikuwa kutumia silaha yoyote
kuua wanaume kwa sababu mmoja wao aliniua
mwangu nilijisemea kamwe sitawaambia hali ya afya yangu, yeyote
anayekuja kwangu nammaliza. Kwa namna walivyoniambukiza lazima
niwaambukize’. "Sijui nimewaambukiza wanaume wangapi, lakini ni
maelfu,” alisema mwanamke huyo ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 32,
alipotoa ushuhuda wake kanisani nchini Nigeria hivi karibuni
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment