Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Zitto kabwe akiwa na Baba yake Mzee Zuberi kabwe.
Mchana wa June 02 ndiyo yamefanyika mazishi ya mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe Bi.Shida Salum ambaye alifariki jana Mei 01 Jijini Dar es salaam kisha akasafirishwa kwa ajili ya kwenda kuzikwa Kigoma. Mazishi yamefanyika saa 9 alasiri. Hiki ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa facebook.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top