Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Aliyekuwa Sheikh mkuu wa mkoa wa Tabora Sheikh Shaaban Salumu(aliyevaa shati jeusi) wakati alipokuwa barabarani akisindikizwa na waumini wa dini ya kiislamu baada ya kuachiwa kwa dhamana katika mahakama ya hakimu mkazi Tabora akituhumiwa kwa kosa la kutaka kuleta fujo msikiti mkuu wa Ijumaa Gongoni mjini Tabora akiwa na waumini wengine watano.
Sheikh Shaaban Salum akiwa na baadhi ya waumini waliounganishwa naye katika kesi moja mahakama ya hakimu mkazi Tabora mjini.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top